Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo  kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Bi. Dorothy Natale,kuhusu upatikanaji wa vitabu vya kiada Shuleni katika kongamano la miaka 50 la Elimu ya watu wazima  linalofanyika katika viwanja  vya maktaba kuu ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kuanzia leo Juni 9-11,2012.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mh.Kassimu Majaliwa leo ametembelea  banda la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) katika kongamano la miaka 50 ya Elimu ya watu wazima na kujionea vitabu mbalimbali vya Elimu,(kulia) ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mh.Joyce Ndalichako.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...