Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Bi. Dorothy Natale,kuhusu upatikanaji wa vitabu vya kiada Shuleni katika kongamano la miaka 50 la Elimu ya watu wazima linalofanyika katika viwanja vya maktaba kuu ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kuanzia leo Juni 9-11,2012.
Home
ELIMU
TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) YASHIRIKI KONGAMANO LA MIAKA 50 LA ELIMU YA WATU WAZIMA MKOANI DAR ES SALAAM.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...