Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake watano, leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kusomewa mashtaka matano ikiwemo la uhujumu uchumi, unyang'anyi kwa kutumia silaha, kushiriki vitendo vya rushwa kwa kupokea milioni 90. Wote wamekosa dhamana
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...