Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tatu kulia) akishiriki katika Sala ya Maiti ya Marehemu Mke wa Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dk.Aboud Suleiman Jumbe katika Masjid Mushawal Mwembe shauri Jijini Zanzibar baada ya Sala ya Ijumaa na maziko kufanyika leo katika makaburi ya Mwanakwerekwe Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 02/07/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tatu kulia) akishiriki katika Sala ya Maiti ya Marehemu Mke wa Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dk.Aboud Suleiman Jumbe katika Masjid Mushawal Mwembe shauri Jijini Zanzibar baada ya Sala ya Ijumaa na maziko kufanyika leo katika makaburi ya Mwanakwerekwe Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 02/07/2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...