Moja ya bwawa la samaki la Kisasa linalotengenezwa na Kampuni ya German Machine aquatic.
Muonekano wa bwawa la samaki lililotengenezwa na Kampuni ya German Machine aquatic.

Na Khadija Seif, Michuzi Tv

KAMPUNI ya German Machine aquatic investment yawataka wajasiriamali wadogo na wakubwa kuwekeza katika uchimbaji wa visima vya Kisasa ili waweze Kuboresha ufugaji wa samaki wenye tija na usalama .

Akizungumza na Michuzi Tv Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Jphnson Msuya emeelezab Kampuni hiyo imejikita kwenye utoaji wa huduma za ufugaji wa samaki kwa njia za Kisasa zaidi na uchimbaji wa visima.

"Nawakaribisha sana wafanyabiashara hasa wenye uhitaji wa elimu ya namna gani utaweza kumudu Biashara hii ya ufugaji wa samaki wa Kisasa."

Hata hivyo Msuya ametaja huduma zingine zinazotolewa na Kampuni hiyo ni kutoa mafunzo kwa wajasiriamali ambao wataweza kufaidika na kuingiza kipato kupitia biashara kwa gharama nafuu.

 "Elimu nyingine watakayopata katika banda letu ni pamoja na kujua jinsi ya uchimbaji wa visima, Mabwawa ya Samaki,uuzaji wa vifaranga, utengenezaji wa chakula bora cha samaki pamoja na kutengeneza mitambo ya kumwagilia Mashamba."

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...