Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Godfrey Chongolo pamoja na Sekretarieti yake Mkoani Mbeya tayari kwa kuanza ziara katika Mikoa ya Rukwa, Songwe na Mbeya.
Mapokezi hayo yamefanyika katika Uwanja wa ndege wa Songwe asubuhi ya leo Julai 7,2021, na kuanza safari kuelekea Mkoani Rukwa.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...