Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA Bi. Gaudensi Simwanza akizungumza na Bw. Krishna Mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Mamlaka hiyo katika  maonesho ya  45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo katikati ni Modesta Simwanza

Edward Bora Afisa Mawasiliano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA na Sigfid Mtei Afisa Habari na Mawasiliano kwa Umma wakiwa pamoja na mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda hilo.

Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA Bi. Gaudensi Simwanza akizungumza na Bw. Krishna Mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Mamlaka hiyo katika  maonesho ya  45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo katikati ni Modesta Simwanza

Edward Bora Afisa Mawasiliano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA akiwapa maelezo kwa wananchi waliotembelea katika banda hilo.

Edward Bora Afisa Mawasiliano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA akitoa maelezo kwa  mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...