Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga bastola juu kuashiria  Uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa  ya Riadha (Zanzibar International Marathon)  ya kilomita 21 zilizoanzia leo katika  viwanja vya Ngome Kongwe Mjimkongwe   na kumalizia katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 18/07/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimkabidhi shada la mauwa Nd,Pamela Chepkoech kutoka Nchini Kenya akiwa mshindi wa kwanza Wanawake katika mashindano ya Kimataifa  ya Riadha (Zanzibar International Marathon)  ya kilomita 21 alietumia Saa 1:19:50 yaliyofanyika leo  katika  Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 18/07/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimvalisha nishani  Nd,Panuel Mkumbo kutoka Nchini Kenya akiwa mshindi wa kwanza Wanaume katika mashindano ya Kimataifa  ya Riadha (Zanzibar International Marathon)  ya kilomita 21 aliyetumia Saa 1:04:48 yaliyofanyika leo  katika  Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 18/07/2021.

Wanariadha katika mashindano ya Kimataifa  ya Riadha (Zanzibar International Marathon)  ya kilomita 21 wakijitayarisha kuanza Mbio hizo  leo katika   Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar,ambapo mgeni rasmin alikuwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani).[Picha na Ikulu] 18/07/2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...