
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristi Tanzania (CCT) katika Eneo la Kilakala Mkoani Morogoro leo Julai 08,2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) alipowasili katika Eneo la Kilakala Mkoani Morogoro leo Julai 08,2021 kwa ajli ya kufungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya kikristo Tanzania (CCT).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisindikizwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya kikristo Tanzania (CCT) Mkoani Morogoro leo Julai 08,2021.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...