Ujenzi wa Daraja  katika Mto Mayugu  katika eneo la Kabunde  linalojengwa  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe , Mkoani Katavi kupitia  Wakala wa Barabara  za Vijijini  na Mijini (TARURA) litakalogharimu zaidi ya shilingi milioni 112 kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara katika bajeti ya fedha ya mwaka 2020/2021

lengo la kufungua daraja hilo  ni kunusuru adha ya wananchi  kuvuka kwenye maji katika eneo hili wakati wa mvua . Pia kutoa huduma za usafiri na usafirishaji  wa mazao  ya wakulima kutoka shambani kwenda sokon.

Daraja hilo likikamilika  linategemewa  kutoa huduma  kwa wananchi zaidi ya watu 91,313 na kuwahudumia wakulima  zaidi 12,692 kwa ajili ya kusafirisha mazao  kwenda maeneo mbalimbali  kujipatia riziki.









 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...