Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni
ya Uwekezaji ya UTT AMIS, Martha Mashiku, akitoa mada kuhusu Akiba na Uwekezaji kupitia mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja inayoendeshwa na UTT AMIS wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimali Watu uliofanyika katika Ukumbi wa IRDP jijini Dodoma.
UTT AMIS ni Taasisi ya Serikali inayotoa fursa kwa watanzania kuweka akiba na kuwezeshwa kushiriki kwenye masoko ya fedha na mitaji ambapo wadau kutoka idara za serikali, halmashauri, mashirika ya umma na wizara walishiriki katika mkutano huo uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma.
Washiriki wa mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...