“Nilijiunga na Bolt miaka miwili iliyopita kwa sababu nilitaka kufanya kitu tofauti. Nilikuwa nikitumia Bolt sana kama abiria katika safari zangu za mjini. Nilipata ushawishi mkubwa kutoka kwa madereva kuhusu uhuru wa masaa yao ya kazi wakiwa dereva wanaotumia mfumo wa Bolt. Hivyo nikaamua kujiunga.
Ukitumia Bolt, lazima uone mafanikio. Ni nafuu kwa abiria na yenye faida kwa madereva. Leo nina uwezo wa kujikimu na kuchangia matumizi ya nyumbani. Najisikia mwenye furaha. Nashauri vijana wenzangu wajiunge Bolt ili waweze kujikimu na kujitegemea”. – Dereva wa Bolt, Maximillian George (25), Tegeta - Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...