Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Frank Nyabundege (kulia), akikabidhiwa nyaraka za ofisi na Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa benki hiyo, Bw. Japhet Justine, wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika ofisi za benki hiyo jana jijini Dar es Salaam. Bw. Nyabundege aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuongoza benki hiyo ya kilimo tarehe 5 Agosti, 2021.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...