Na abel Paul Jeshi la Polisi Arusha
Leo tarehe 03.08.2021 Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalamaa Mkoa wa Arusha ambae pia ni Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha JOHN MONGELLA alipokuwa akizindua chanjo kimkoa amepiga marufu mikusanyiko na maandamano ndani ya Mkoa wa Arusha.
Hayo ameyasema leo katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano AICC jijini Arusha ambapo amesema kuwa ustawi wa nchi na Mkoa wetu si maandamano "hivyo niwatake wananchi kutofuata Mkumbo wa wanasiasa ambao wanawashawishi kuandamana"
Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa Mkoa wa Arusha ACP JUSTINE MASEJO leo Tarehe 03/08/2021 amepiga marufuku mikusanyiko na maandamano yeyote ndani ya Mkoa wa Arusha kwani atakeye fanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa watakao thubutu kuandamana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...