Afisa Mtendaji Mkuu wa LSF bi Lulu Ng’wanakilala akifuatilia kikao kati ya Wizara ya Katiba na Sheria bara na visiwani chenye lengo la kuelewa utendaji wa Chama cha Mawakili Zanzibar pamoja kupeana uzoefu katika utekelezaji wa huduma msaada wa kisheria nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiendesha kikao kilichoshirikisha chama cha mawakili Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...