Msanii
wa kizazi kipya Zena Mohammed maarufu kama Shilole akimuelezea mkazi wa
Manzese jijini Dar es Salaam baadhi ya huduma zitolewazo na kampuni
hiyo kwenye kampeni ya ‘Kimbiza na 4G ya Ukweli’. Kampeni hiyo ina lengo
la kuifahamisha jamii kuhusu kasi na uhakika wa mtandao wake
unaowezeshwa na uwekezaji makini katika teknolojia pamoja na upana wa
huduma zinazotolewa kwa wateja wake.
Mkuu
wa Mauzo wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania,
Brigita Stephen akimuelezea mkazi wa Manzese jijini Dar es Salaam baadhi
ya huduma zitolewazo na kampuni hiyo kwenye kampeni ya ‘Kimbiza na 4G
ya Ukweli’. Kampeni hiyo ina lengo la kuifahamisha jamii kuhusu kasi na
uhakika wa mtandao wake unaowezeshwa na uwekezaji makini katika
teknolojia pamoja na upana wa huduma zinazotolewa kwa wateja wake
Msanii
wa kizazi kipya Zena Mohammed maarufu kama Shilole akiwaelimisha wakazi
wa Dar es Salaam kuhusu kampeni ya Vodacom Tanzania ya ‘Kimbiza na 4G
ya Ukweli’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki Manzese jijini Dar es Salaam.
Kampeni hiyo ina lengo la kuifahamisha jamii kuhusu kasi na uhakika wa
mtandao wake unaowezeshwa na uwekezaji makini katika teknolojia pamoja
na upana wa huduma zinazotolewa kwa wateja wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...