Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Mhe. Amina Mohammed amewasili Nchini kwa ziara ya siku mbili kuwasilisha ujumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe. Antonio Guteres kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Mhe. Amina Mohammed amepokelewa katika uwanja wa ndege wa Dodoma na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...