Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Legal Services Facility, Lulu Ng’wanakilala akizungumzia programu ya upatikanaji wa haki inayotekelezwa na shirika lake mbele ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, mara baada ya kutembelea banda la maonyesho la LSF wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya kiserikali unaofanyika Jijini Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...