Msimamizi wa Maduka ya Vodacom kanda ya Ziwa Maryglory Mtika(kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 Vincent Gratus ambaye ni mshindi wa promosheni ya Tusua Mapene kwa mwezi wa Nane, mkazi wa Kabuholo jijini Mwanza Vincent Haule, kwenye hafla iliyofanyika jijini humo jana.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...