Waziri wa Kilimo na Ushirika akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 53 wa TANESCO Sacoss uliofanyika Dar es Salaam.
Waziri wa Kilimo na Ushirika, Profesa Adolf Mkenda na wajumbe wa Mkuano Mkuu wa 53 wa TANESCO Sacoss wakipiga makofi baada ya kuzinduliwa huduma ya kibenki mtandaoni iitwayo, Fosa Mobile app.
Wajumbe wa Mkutano wa 53 wa TANESCO Sacoss wakimsikiliza Waziri wa Kilimo na Ushirika Profesa, Adolf Mkenda wakati akifungua mkutano uliofanyika Dar es Salaam.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...