Timu ya wataalamu wa Wizara ya Maji iliyoundwa na Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga ikiwa eneo la kazi tayari kwa kuanza kazi ya ukarabati mkubwa katika mradi wa maji wa Makonde, Newala mkoani Mtwara. Timu hiyo inajumuisha wataalamu wabobezi katika mitambo ya kusukuma maji (Pumps) na mfumo wa umeme.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...