Timu ya wataalamu wa Wizara ya Maji iliyoundwa na Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga ikiwa eneo la kazi tayari kwa kuanza kazi ya ukarabati mkubwa katika mradi wa maji wa Makonde, Newala mkoani Mtwara. Timu hiyo inajumuisha wataalamu wabobezi katika mitambo ya kusukuma maji (Pumps) na mfumo wa umeme.
Ukaguzi wa mitambo katika mradi wa maji wa Makonde ukifanyika ambapo ipo mitambo mipya sita itafungwa ili kuongeza nguvu na kuhakikisha maji yanafwafikia wananchi kwa saa 24.

Mashine ya kusukuma maji namba moja katika mradi wa maji wa Makonde, Newala ikifunguliwa na wataalamu wa mitambo tayari kwa kufanyiwa ukarabati.mkubwa.
Mtaalamu wa mifumo ya umeme akikagua mfumo wa umeme kubaini kiwango kinachofika katika mtambo katika mradi wa maji wa Makonde.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...