Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo (aliyeshika fimbo) akihoji mambo mbali mbali baada ya kuonyeshwa michoro ya Stendi ya Mabasi ya Chato ambapo Serikali imewekeza bilioni 6.39. (Picha na CCM Makao Makuu)

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akikagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Stendi ya Mabasi ya Chato ambapo Serikali imewekeza bilioni 6.39. (Picha na CCM Makao Makuu) 

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akizungumza mara baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa shule maalum ya sekondari ya Mbuye iliyopo wilayani Chato, mkoa wa Geita. (Picha na CCM Makao Makuu) 

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akizungumza mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Ndugu Mandia Kihiyo baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa shule maalum ya sekondari ya Mbuye iliyopo wilayani Chato, mkoa wa Geita. (Picha na CCM Makao Makuu)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...