Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Zungu akizungumza katika kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kujadili utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakiwa katika kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini Dodoma, Kamati hiyo ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kujadili utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...