Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Zungu akizungumza katika kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kujadili utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakiwa katika kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini Dodoma, Kamati hiyo ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kujadili utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...