Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan amefunga mafunzo ya makatibu wa CCM wa wilaya na mikoa katika ukumbi wa NEC Makao Makuu ya Chama Jijini Dodoma leo Jumamosi tarehe 6 Novemba, 2021 yaliyofanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 3 Novemba, 2021. (PICHA CCM MAKAO MAKUU).
Home
HABARI
MWENYKITI WA CCM,RAIS SAMIA AFUNGA MAFUNZO YA MAKATIBU WA CCM WILAYA NA MIKOA JIJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...