Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 12 Novemba 2021 akitokea nchini Misri baada ya kukamilisha ziara yake ya Kosertikali ya siku tatu kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 12 Novemba 2021 akitokea nchini Misri baada ya kukamilisha ziara yake ya Kosertikali ya siku tatu kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...