Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa, akisalimiana na Afisa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, Waziri Ramadhani, alipotembelea banda la kampuni hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa Wiki ya Maonesho ya Huduma za Fedha katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa, akifafanua jambo baada ya kupata maelezo juu ya fursa zinazopatikana katika Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS alipotembelea banda la kampuni hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa Wiki ya Maonesho ya Huduma za Fedha katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa UTT AMIS, Chiguru Josiah, akitoa ya elimu ya fedha kwa wananchi waliojitokeza katika maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...