Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji wameupongeza ubalozi wa Tanzania nchini hapo kwa hatua zote walizosaidia mpaka mwili wa marehemu kusafiri.
Shukrani za pekee kwa Mh:Balozi Jestas Abouk Nyamanga
Kaimu Balozi Mh: Juma Ali Salum,
Watanzania wote nchini Luxembourg,Watanzania wote nchini Uingereza,Watanzania wote nchini Ujerumani,Watanzania wote nchini Tanzania Bara na Zanzibar


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...