Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo na kulia kwake ni Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Mkadam Mkadam ambae ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakiwa katika picha ya pamoja na Wadau mbalimbali katika uzinduzi (MOTORCYCLE BUFFER ZONE) katika eneo la Sanawari mkoani Arusha.(Picha na Jeshi la Polisi).

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, George Simbachawene, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo na Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Mkadam Mkadam, ambae ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani na Wadau mbalimbali wakikata utepe katika uzinduzi wa mchoro wa Barabarani unaoonesha eneo maalum la kusimama Pikipiki (MOTORCYCLE BUFFER ZONE) katika eneo la Sanawari mkoani Arusha.(Picha na Jeshi la Polisi).

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Simbachawene akisalimiana na moja wa madereva Bodaboda kabla ya uzinduzi wa kivuko cha mchoro wa Barabarani unaoonesha eneo Maalum la Kusimama Pikipiki (MOTORCYCLE BUFFER ZONE) katika eneo la Sanawari mkoani Arusha. (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...