Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Awamu ya Pili  ya Ujenzi wa Ofisi za katika Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma, Desemba 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama, cheti  cha kutambua mchango wake katika kufanikisha mpango wa serikali kuhamia Dodoma wakati Waziri Mkuu alipozindua Awamu ya Pili  ya Ujenzi wa Ofisi za Serikali  katika Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma, Desemba 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...