Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola
Tanzania, Kabula Nshimo akizungumza na wafanyakazi wa kampuni Nyanza Bottling
Ltd (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Maajabu Halisi’ uliofanyika
mkoani Mwanza mwishoni mwa wiki iliyopita. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa
kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za
kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi
cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola
Tanzania, Kabula Nshimo (kushoto) pamoja Meneja wa Mauzo na Masoko wa Nyanza
Bottling Ltd, Samwel Makenge (kulia) wakizungumza na wafanyakazi wa kampuni
Nyanza Bottling Ltd wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Maajabu Halisi’
uliofanyika mkoani Mwanza. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika
mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua
zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa
sikukuu na mwaka mpya.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni Nyanza Bottling Ltd wakifurahia nyakati mbalimbali wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Maajabu Halisi’ uliofanyika mkoani Mwanza mwishoni mwa wiki iliyopita. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni Nyanza Bottling Ltd wakifurahia nyakati mbalimbali wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Maajabu Halisi’ uliofanyika mkoani Mwanza mwishoni mwa wiki iliyopita. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...