•Apata fursa ya kujitambulisha kwa watoa hudum
•Atoa tuzo na zawadi kwa wafanyakazi bora wa robo ya mwisho ya mwaka 2021
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia (kulia) na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja, Harriet Lwakatare (kushoto) wakati mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo alipotembelea kituo cha huduma kwa wateja kilichopo Mlimani city jijini Dar es Salaam na kutoa tuzo na zawadi kwa wafanyakazi bora wa robo ya mwisho ya mwaka 2021 na kuwaasa kuzingatia maadili na kutoa huduma bora zaidi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose akizungumza na wafanyakazi wa kituo cha huduma kwa wateja Vodacom kilichopo Mlimani city jijini Dar es Salaam na kutoa tuzo na zawadi kwa wafanyakazi bora wa robo ya mwisho ya mwaka 2021 na kuwaasa kuzingatia maadili na kutoa huduma bora zaidi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...