Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza ambapo anatarajia kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Mkoani Mara kesho Februari 5, 2022

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (Mb) akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza ambapo anatarajia kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Mkoani Mara kesho Februari 5, 2022
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (Mb) akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza ambapo anatarajia kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Mkoani Mara kesho Februari 5, 2022
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...