Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji lililofanyika jana Dubai, UAE.
Waziri wa Nishati Mhe. Januari Makamba akishuhudia uwekaji wa sahihi ya makubaliano baina ya UAE na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambapo Naibu Katibu Mkuu Ndg Kheri Mahimbali akisaini makubaliano ya ujenzi wa Fuel Terminal kwa niaba ya JMT ambao ujenzi huo utasaidia katika uhifadhi wa mafuta na pia itatatua tatizo la mfumuko wa bei ya mafuta ya Petrol na Diesel.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...