Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akizungumza mara baada ya kuonyweshwa mchoro wa mradi wa ujenzi wa eneo la biashara ndogo ndogo katika eneo linalojulikana kwa jina la soko la jioni Bariadi..(Picha na CCM Makao Makuu).





Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi wa shina namba 13, Tawi la Igaganulwa kata ya Dutwa, Bariadi kwenye mkutano Mkuu wa Shina ikiwa sehemu ya ziara yake pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoani Simiyu.(Picha na CCM Makao Makuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...