Caroline Mbaga, Mkuu wa Masoko, Mawasiliano na Uraia wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

Joyce Ndyetabura, Mkuu wa Biashara wa Benki ya NCBA, akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

 
Rosemary Ihadike, Meneja mahusiano, bima na masuluhisho wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleoi dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

 
Godson Muro, Meneja wa Operesheni za Mikopo wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

 
Meshack Massawe, afisa usimamizi wa biashara wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

Sudi Koshuma, Meneja msaidi wa mirejesho ya mikopo wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

Judith Warioba, Mkuu wa taasisi wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

Margaret Karume, Mkurugenzi Mkuu na Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.




Gloria Njiu, Mkuu wa Biashara za Kidijitali wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.


Rahim Kanji, Mkuu wa kitengo cha biashara rejareja na bima wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.

 




Zainab Mushi, Mkuu wa Rasilimali watu wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...