Caroline Mbaga, Mkuu wa Masoko, Mawasiliano na Uraia wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Joyce Ndyetabura, Mkuu wa Biashara wa Benki ya NCBA, akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Rosemary Ihadike, Meneja mahusiano, bima na masuluhisho wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleoi dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Godson Muro, Meneja wa Operesheni za Mikopo wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Meshack Massawe, afisa usimamizi wa biashara wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Sudi Koshuma, Meneja msaidi wa mirejesho ya mikopo wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Judith Warioba, Mkuu wa taasisi wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Margaret Karume, Mkurugenzi Mkuu na Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Gloria Njiu, Mkuu wa Biashara za Kidijitali wa Benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Rahim Kanji, Mkuu wa kitengo cha biashara rejareja na bima wa benki ya NCBA akionyesha ishara ya kuvunja upendeleo dhidi ya Wanawake kwenye Siku ya Wanawake, duniani tarehe 8 Machi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...