Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50, Alain Ebobisse
aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 23
Machi, 2022.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50, Alain
Ebobisse mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo
tarehe 23 Machi, 2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...