Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na kamati tendaji ya Scauti Tanzania akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022. (Picha Zote Na Mathias Canal)





Wajumbe wa kamati tendaji ya Scauti Tanzania wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022.





Wajumbe wa kamati tendaji ya Scauti Tanzania wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022.





Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na kamati tendaji ya Scauti Tanzania akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022.





Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza wakiwa katika picha ya pamoja na kamati tendaji ya Scauti Tanzania mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022.



Wajumbe wa kamati tendaji ya Scauti Tanzania wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022.

**************************

Na Mathias Canal, Dar es salaam

Waziri wa Elimu, Sayansi na
Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda ameteua kamati ya mpito ya watu watatu ambayo
itashughulikia shughuli za kiutendaji za Scauti Tanzania.

Kamati hiyo tendaji pia
imepewa jukumu la kuhakikisha inaandaa Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa uongozi wa
Scauti.

Ameitaka kamati hiyo ya mpito
kuhakikisha kuwa inatoa Notisi tarehe 21 Machi 2022 na kuagiza mkutano mkuu ufanyike
ndani ya siku 21 mara baada ya tangazo hilo.

Waziri Mkenda ametoa agizo
hilo leo tarehe 18 Machi 2022 wakati wa kikao kazi na kamati tendaji ya Scauti
Tanzania akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza
kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam

Waziri Prof Mkenda amesema
kuwa kamati hiyo tendaji itaongozwa na Bw Stewart Kiluswa akisaidiana na Omary
Mavura pamoja na Suleiman Takadiri


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...