Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akipiga kura ya kuchagua Uongozi wa CCM Shina namba 5,Tawi la Kilimani, Kata ya Kilimani, Dodoma.(



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akiwa akizungumza na baadhi ya wanachama wa Shina namba 5 akiwemo Katibu wa NEC,Idara ya Oganaizesheni ya CCM Dkt. Moudline Cyrus Castico wakati wa uchaguzi wa Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Shina, Tawi la Kilimani, Kata ya Kilimani, Dodoma.(Picha na Adam H. Mzee/ CCM Makao Makuu)







Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akiwa amejumuika na wanachama wa Shina namba 5 kwa ajili ya kuchagua Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Shina, Tawi la Kilimani, Kata ya Kilimani, Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...