Na Mwandishi Maalum,TMDA Kusini

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kusini kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imeteketeza dawa na vifaa tiba ambazo zimekwisha muda wa matumizi zenye thamani ya shilingi milioni 205/= [mia mbili na tano]

Kazi hiyo imefanyika katika hospitali ya Wilaya ya Liwale chini ya usimamizi wa ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri kupitia idara ya Afya baada ya kupata kibali kutoka kwa mhakiki mali wa Serikali.

Uteketezaji wa dawa na vifaa tiba hufanyika kwa kufuata taratiba za Serikali na utunzaji wa mazingira,aidha wakati wa kufanya uteketezaji huo kuna kuwepo na ushirikishwaji wa idara ya mazingira, polisi na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...