Na Mwandishi Maalum,TMDA Kusini
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kusini kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imeteketeza dawa na vifaa tiba ambazo zimekwisha muda wa matumizi zenye thamani ya shilingi milioni 205/= [mia mbili na tano]
Kazi hiyo imefanyika katika hospitali ya Wilaya ya Liwale chini ya usimamizi wa ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri kupitia idara ya Afya baada ya kupata kibali kutoka kwa mhakiki mali wa Serikali.
Uteketezaji wa dawa na vifaa tiba hufanyika kwa kufuata taratiba za Serikali na utunzaji wa mazingira,aidha wakati wa kufanya uteketezaji huo kuna kuwepo na ushirikishwaji wa idara ya mazingira, polisi na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba.
Home
HABARI
TMDA KANDA YA KUSINI YATEKETEZA DAWA NA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH MILIONI 200.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...