Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya kompyuta mpakato, Mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa, Calvin Omari, baada ya kua mshindi wa kwanza kwenye uandishi wa insha ya masuala ya Muungano, ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa, Calvin Omari (wapili kulia) baada ya kua mshindi wa kwanza kwenye uandishi wa insha ya masuala ya Muungano, ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 26, 2022. Kutoka kushoto ni Mzazi wa (Calvin) Filbert Taratibu, Mkuu wa Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa,David Mwakalobo na kulia ni Mwalimu wa somo la Kiswahili, Stamili Mmenyuka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...