
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya kompyuta mpakato, Mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa, Calvin Omari, baada ya kua mshindi wa kwanza kwenye uandishi wa insha ya masuala ya Muungano, ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...