Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo, katika Kikao cha Menejimenti cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo, katika Kikao cha Menejimenti cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Kayuni (kushoto), akimkabidhi nyaraka za ofisi, Mkurugenzi Mpya wa Wizara hiyo, Miriam Mmbaga, katika Kikao cha Menejimenti ya Wizara kilichojadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (katikati), akimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Miriam Mmbaga, alipokuwa akizungumza katika Kikao cha Menejimenti cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (katikati), akimsikiliza aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Emmanuel Kayuni, alipokuwa akizungumza katika Kikao cha Menejimenti cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (katikati), Mkurugenzi Mpya wa Utawala na Rasilimali Watu (DAHRM), Miriam Mmbaga (kushoto) na aliyekuwa Mkurugenzi wa Wizara hiyo, Emmanuel Kayuni (kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo, baada ya Kikao cha Menejimenti cha kujadili masuala ya utendaji kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo Julai 5, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...