Wafanyakazi wa TRA pamoja na Naibu kamishna mkuu wa mamlaka hiyo Ndg. Mcha Hassan Mcha wakifanya zoezi la kuskani kinywaji ili kuhakiki ubora wa matumizi ya bidhaa hiyo katika zoezi linaloendelea la ‘Kuhakiki Stempu’ katika viwanja vya sabasaba. Kulia ni Mkurugenzi wa huduma na Elimu kwa Mlipa kodi TRA Bw. Richard Kayombo

Naibu kamishna mkuu wa TRA, Bw. Mcha Hassan Mcha akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) alipotembelea viwanja vya maonesho ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yanayofanyika kila mwaka Tanzania.


 Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Mcha Hassan Mcha katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa TRA, alipotembelea mabanda ya Mamlaka hiyo ya mapato katika maonesho ya kimataifa ya biashara Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...