
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kupewa mkono wa pole na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Mhe. Zito Zuberi Kabwe, wakati wa maziko ya Kaka yake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi yaliyofanyika Kijiji kwao Mangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 31-8-2022.(Picha na Ikulu)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...