Wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watu wazima wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Madaktari Afrika la nchini Marekani wakifanya upasuaji wa bila kufungua kifua kwa kupasua sehemu ndogo kwenye kwa kutumia mtambo wa Cathlab kuzibua valvu ya moyo (Valve Intervention - Mitral Valve balloon Valvuloplasty Procedure) kwa mgonjwa ambaye valvu zake zimeziba na kushindwa kupitisha damu katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku nne inayoendelea katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Picha na Khamis Mussa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...