Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akijadili jambo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga, Jacob Mtalitinyi (kulia) wakati alipokagua Kituo Kikuu cha Mabasi cha Sumbawanga  akiwa katika ziara ya kikazi ya Mkoa wa Rukwa, Disemba 16, 2022.  Katikati na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Sumbawanga wakiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa, Disemba 16, 2022. Kulia kake ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Sendiga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...