Kituo cha Uwekezaji Tanzanzia (TIC) kimesajili jumla ya miradi 132 sawa na ongezeko la asilimia 22.2 ikilinganishwa na miradi 108 iliyosajiliwa katika kipindi cha mwezi Julai hadi Novemba 2022 mbapo Sekta ya Viwanda imefanikiwa kuongoza kwa kuvutia miradi mingi (67).
Kituo cha Uwekezaji Tanzanzia (TIC) kimesajili jumla ya miradi 132 sawa na ongezeko la asilimia 22.2 ikilinganishwa na miradi 108 iliyosajiliwa katika kipindi cha mwezi Julai hadi Novemba 2022 mbapo Sekta ya Viwanda imefanikiwa kuongoza kwa kuvutia miradi mingi (67).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...