MKUU wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee  Januari 1, 2023 akikata utepe kuashiria kuzindua zoezi la upandaji miti katika shule zote za Mkoa wa Mara na hasa zile ambazo zimepata madarasa mapya ambapo ameagiza kuwa kila shule itoe umuhinu katika zoezi la upandaji miti. Ametoa maagizo hayo katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Mfuko wa Maendeleo wa Jamii ya Ikizu(ICDT) unaojihusidha na uchombezaji Maendeleo katika nyanja za Elimu, Afya, Kilimo na Utunzaji Mazingira wilayani Bunda.
MKUU wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee Januari 1, 2023 akipanda miti kuashiria uzinduzi wa upandaji mti katika shule zote za Mkoa wa Mara katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Mfuko wa Maendeleo wa Jamii ya Ikizu(ICDT) unaojihusidha na uchombezaji Maendeleo katika nyanja za Elimu, Afya, Kilimo na Utunzaji Mazingira wilayani Bunda.
MKUU wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee akikabidhi Mche wa mti mmoja wa wanafunzi waliojitokeza katika uzinduzi wa zoezi la upandaji miti katika shule zote za Mkoa wa Mara katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Mfuko wa Maendeleo wa Jamii ya Ikizu(ICDT) unaojihusidha na uchombezaji Maendeleo katika nyanja za Elimu, Afya, Kilimo na Utunzaji Mazingira wilayani Bunda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...