

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza kwenye hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma. (PICHA ZOTE NA CCM MAKAO MAKUU)

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa kwenye picha ya pamoja na Wazee wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kusimikwa wakati hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Annamringi Macha akizungumza kwenye hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Zanzibar) Ndugu Mohamed Said Mohamed (Dimwa) akizungumza kwenye hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema akizungumza kwenye hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Mbarouk Nassor Mbarouk akizungumza kwenye hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Katibu wa NEC Idara ya Oganaizesheni Ndugu Issa haji Ussi (Gavu) akizungumza wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.





Makatibu Wakuu wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi Wakiteta jambo wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Sekretarieti mpya ya CCM yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...