Diwani wa Kata ya Mikocheni Eng Hussein Nzenzely amekutana na Wananchi wa Kata ya Mikocheni Mtaa wa Darajani kwaajili ya kusikiliza kero ambazo wanakabiliana nazo pamoja na kupokea ushauri.
Kikao hicho kimehudhuriwa na Mratibu Mwandamizi wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Kinondoni OCD Almachius Mchunguzi,Afisa mtendaji wa kata,Afisa maendeleo wa Kata , Mwenyekiti wa Mtaa,Mtendaji wa mtaa pamoja na wananchi wa kata ya Mikocheni.
Diwani wa Kata ya Mikocheni Eng Hussein Nzenzely akiongea wakati alipokutana na Wananchi wa Kata ya Mikocheni Mtaa wa Darajani wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Sehemu ya wa ananchi wa Kata ya Mikocheni Mtaa wa Darajani wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam katika m kutano huo.
Mratibu Mwandamizi wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Kinondoni OCD Almachius Mchunguzi akiongea katika kikao hicho
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...