Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua tawi la timu ya mpira wa miguu ya Namungo FC liitwalo 'Tairi tatu' lililopo Ruangwa Mjini Mkoani Lindi, Februari 20, 2023 

Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wapenzi na mashabiki wa Timu ya Namungo FC alipozindua tawi la timu hiyo liitwalo 'Tairi tatu' lililopo Ruangwa Mjini Mkoani Lindi, Februari 20, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...