Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Gerald Mbonimpa Ndika kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Bahame Tom Mukirya Nyanduga kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dosca Kemilembe Mutabuzi kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Rashid Kassim Mchatta kuwa Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi mbalimbali mara baada ya hafla ya Uapisho wa Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Skauti Mkuu Rashid Kassim Mchatta katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Mawaziri, Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Skauti Mkuu Rashid Kassim Mchatta wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...